2 Sam. 23:17 Swahili Union Version (SUV)

Akasema, Hasha, BWANA, nisifanye hivi; je! Si damu hii ya watu hao waliohatirisha nafsi zao? Kwa hiyo hakukubali kuyanywa. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale mashujaa watatu.

2 Sam. 23

2 Sam. 23:9-19