2 Sam. 22:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi Daudi akamwambia BWANA maneno ya wimbo huu, siku ile BWANA alipomwokoa mikononi mwa adui zake zote, na mkononi mwa Sauli;

2. akasema,BWANA ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,naam, wangu;

2 Sam. 22