2 Sam. 21:9 Swahili Union Version (SUV)

akawatia mikononi mwa Wagibeoni, nao wakawatundika mlimani mbele za BWANA, nao wakaangamia wote saba pamoja; wakauawa siku za mavuno, za kwanza, mwanzo wa mavuno ya shayiri.

2 Sam. 21

2 Sam. 21:4-16