2 Sam. 21:15 Swahili Union Version (SUV)

Basi kulikuwa na vita tena kati ya Wafilisti na Israeli; Daudi akashuka mpaka Gobu, na watumishi wake pamoja naye, akapigana na Wafilisti; naye Daudi akaishiwa na nguvu.

2 Sam. 21

2 Sam. 21:9-19