2 Sam. 20:24-26 Swahili Union Version (SUV)

24. na Adoramu alikuwa juu ya shokoa; na Yehoshafati, mwana wa Ahiludi, alikuwa mkumbushi;

25. na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.

26. Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.

2 Sam. 20