2 Sam. 20:2 Swahili Union Version (SUV)

Basi wakapanda watu wote wa Israeli kutoka kumfuata Daudi, wakamfuata Sheba, mwana wa Bikri; lakini watu wa Yuda wakaambatana na mfalme wao, toka Yordani hata kufika Yerusalemu.

2 Sam. 20

2 Sam. 20:1-12