2 Sam. 20:17 Swahili Union Version (SUV)

Basi akamkaribia; na yule mwanamke akasema, Ndiwe Yoabu? Akajibu, Ndimi. Ndipo akamwambia Sikia maneno ya mjakazi wako. Akajibu, Mimi nasikia.

2 Sam. 20

2 Sam. 20:12-20