2 Sam. 2:30 Swahili Union Version (SUV)

Akarudi Yoabu naye kutoka kumfuatia Abneri; na alipokwisha kuwakusanya watu wote pamoja, wa hao watumishi wa Daudi walipungukiwa na watu kumi na kenda pamoja na Asaheli.

2 Sam. 2

2 Sam. 2:29-32