2 Sam. 2:16 Swahili Union Version (SUV)

Wakakamatana, kila mtu akimshika mwenziwe kichwa chake, na kutia upanga wake katika ubavu wa mwenzake; wakaanguka pamoja; hata mahali pale pakaitwa Helkath-hasurimu, napo ni katika Gibeoni.

2 Sam. 2

2 Sam. 2:14-18