2 Sam. 19:27 Swahili Union Version (SUV)

Naye amenisingizia mimi mtumwa wako kwa bwana wangu mfalme; lakini bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu; utende basi yaliyo mema machoni pako.

2 Sam. 19

2 Sam. 19:25-34