2 Sam. 19:13 Swahili Union Version (SUV)

Kisha mkamwambie Amasa, Je! Si wewe uliye mfupa wangu, na nyama yangu? Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, usipokuwa wewe jemadari wa jeshi mbele yangu daima mahali pa Yoabu.

2 Sam. 19

2 Sam. 19:7-19