2 Sam. 18:4 Swahili Union Version (SUV)

Mfalme akawaambia, Yaliyo mema machoni penu ndiyo nitakayofanya. Basi mfalme akasimama kando ya lango, na hao watu wakatoka kwa elfu zao na mia zao.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:1-7