2 Sam. 18:31 Swahili Union Version (SUV)

Na tazama, yule Mkushi akafika; Mkushi akasema, Nina habari kwa bwana wangu mfalme; kwa maana BWANA amekulipizia kisasi leo juu ya hao wote walioinuka kupigana nawe.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:30-33