2 Sam. 18:26 Swahili Union Version (SUV)

Kisha huyo mlinzi akaona mtu mwingine anapiga mbio; mlinzi akamwita bawabu, akasema, Angalia, mtu mwingine anakuja mbio peke yake. Mfalme akasema, Huyu naye analeta habari.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:22-29