2 Sam. 18:11 Swahili Union Version (SUV)

Naye Yoabu akamwambia mtu yule aliyempasha habari, Je! Wewe umeona haya; Mbona, basi, hukumpiga hata nchi papo hapo? Nami ningalikupa fedha kumi na mshipi.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:5-14