2 Sam. 17:29 Swahili Union Version (SUV)

na asali, na siagi, na kondoo, na samli ya ng’ombe, wapate kula Daudi na watu waliokuwa pamoja naye; kwani walisema, Watu hao waona njaa, tena wamechoka, nao wana kiu huku nyikani.

2 Sam. 17

2 Sam. 17:28-29