2 Sam. 17:2 Swahili Union Version (SUV)

nami nitamshambulia wakati atakaokuwa amechoka, na mikono yake imekuwa dhaifu, nami nitamtia hofu; na watu wote walio pamoja naye watakimbia; nami nitampiga mfalme peke yake;

2 Sam. 17

2 Sam. 17:1-11