2 Sam. 17:18 Swahili Union Version (SUV)

Lakini kijana mmoja aliwaona, akamwambia Absalomu; basi wakaenda wote wawili kwa haraka, wakafika Bahurimu, nyumbani kwa mtu aliyekuwa na kisima uani mwake; wakashuka ndani yake.

2 Sam. 17

2 Sam. 17:15-20