2 Sam. 17:15 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Hushai akawaambia Sadoki na Abiathari, makuhani, Ahithofeli amempa Absalomu na wazee wa Israeli mashauri kadha wa kadha; na mimi nimetoa mashauri kadha wa kadha.

2 Sam. 17

2 Sam. 17:10-20