2 Sam. 16:4 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo mfalme akamwambia Siba, Tazama, yote yaliyokuwa ni mali ya Mefiboshethi ni yako. Siba akasema, Mimi nasujudu; na nione kibali machoni pako, Ee bwana wangu, mfalme.

2 Sam. 16

2 Sam. 16:1-8