2 Sam. 16:19 Swahili Union Version (SUV)

Na tena, Ni nani ambaye yanipasa nimtumikie? Hainipasi kutumika mbele ya mwanawe? Kama nilivyotumika mbele ya baba yako, ndivyo nitakavyokuwa mbele yako.

2 Sam. 16

2 Sam. 16:14-23