2 Sam. 15:35 Swahili Union Version (SUV)

Je! Hawako Sadoki na Abiathari, makuhani, pamoja nawe huko? Basi itakuwa, kila neno utakalolisikia katika jumba la mfalme, utawaambia Sadoki na Abiathari, makuhani.

2 Sam. 15

2 Sam. 15:27-37