2 Sam. 15:24 Swahili Union Version (SUV)

Na tazama, Sadoki naye akaja, na Walawi wote pamoja naye, huku wakilichukua sanduku la agano la Mungu; kisha wakalitua hilo sanduku la Mungu; Abiathari naye akapanda juu, hata watu wote walipokwisha kuutoka mji.

2 Sam. 15

2 Sam. 15:19-32