2 Sam. 14:6 Swahili Union Version (SUV)

Nami mjakazi wako nalikuwa na wana wawili, na hao wawili wakashindana uwandani, wala hapakuwa na mtu wa kuwaamua, lakini mmoja akampiga mwenzake, akamwua.

2 Sam. 14

2 Sam. 14:5-10