2 Sam. 14:30 Swahili Union Version (SUV)

Kwa hiyo akawaambia watumishi wake, Tazameni, shamba la Yoabu liko karibu na shamba langu, naye ana shayiri huko; nendeni mkalitie moto. Basi watumishi wa Absalomu wakalitia moto lile shamba.

2 Sam. 14

2 Sam. 14:21-33