2 Sam. 14:25 Swahili Union Version (SUV)

Basi katika Israeli wote hapakuwa na mtu hata mmoja mwenye kusifiwa kwa uzuri wake kama huyo Absalomu; tangu nyayo za miguu yake hata utosi wa kichwa chake hapakuwa na ila kwake.

2 Sam. 14

2 Sam. 14:20-29