2 Sam. 14:18 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo mfalme akajibu, akamwambia yule mwanamke, usinifiche, nakusihi, neno lo lote nitakalokuuliza. Na mwanamke akasema, Na anene sasa bwana wangu mfalme.

2 Sam. 14

2 Sam. 14:15-24