2 Sam. 13:4 Swahili Union Version (SUV)

Naye akamwambia, Kwa nini, Ee mwana wa mfalme, unakonda hivi siku kwa siku? Hutaki kuniambia? Amnoni akamwambia, Nampenda Tamari, umbu la ndugu yangu, Absalomu.

2 Sam. 13

2 Sam. 13:1-5