2 Sam. 13:34 Swahili Union Version (SUV)

Lakini Absalomu akakimbia. Na kijana yule aliyekuwa mlinzi akainua macho yake, akaona, na tazama, kuna watu wengi wanakuja kwa njia ya upande wa kilima nyuma yake.

2 Sam. 13

2 Sam. 13:33-39