2 Sam. 13:23 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa baada ya miaka miwili mizima, Absalomu alikuwa na wenye kukata manyoya ya kondoo huko Baal-hasori uliopo upande wa Efraimu; naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.

2 Sam. 13

2 Sam. 13:13-28