2 Sam. 13:18 Swahili Union Version (SUV)

Naye alikuwa amevaa kanzu ndefu; kwa kuwa kwa nguo hizo huvikwa binti za mfalme waliokuwa wanawali. Ndipo mtumishi wake akamleta nje, akafunga mlango nyuma yake.

2 Sam. 13

2 Sam. 13:11-24