2 Sam. 12:8 Swahili Union Version (SUV)

nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.

2 Sam. 12

2 Sam. 12:6-17