2 Sam. 12:5 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo hasira ya Daudi ikawaka sana juu ya mtu yule; akamwambia Nathani, Aishivyo BWANA, mtu huyo aliyetenda jambo hili, hakika yake astahili kufa;

2 Sam. 12

2 Sam. 12:1-10