2 Sam. 12:30 Swahili Union Version (SUV)

Kisha akamnyang’anya mfalme wao taji toka kichwani pake; na uzani wake ulikuwa talanta ya dhahabu, nayo ilikuwa na vito vya thamani ndani yake; akavikwa Daudi kichwani. Akazitoa nyara za huo mji, nyingi sana.

2 Sam. 12

2 Sam. 12:24-31