2 Sam. 11:8 Swahili Union Version (SUV)

Daudi akamwambia Uria, Haya, shuka nyumbani kwako, ukanawe miguu yako. Basi Uria akatoka katika nyumba ya mfalme, na tunu ya vyakula ikamfuata, iliyotoka kwa mfalme.

2 Sam. 11

2 Sam. 11:2-16