2 Sam. 11:4 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi akapeleka wajumbe, akamtwaa; naye akaingia kwake; naye akalala naye; (maana yule mwanamke amekwisha kutakasika unajisi wake); kisha akarudi nyumbani kwake.

2 Sam. 11

2 Sam. 11:2-7