2 Sam. 11:24 Swahili Union Version (SUV)

Wapiga mishale wakatupiga sisi, watumishi wako, toka juu ya ukuta; na baadhi ya watumishi wa mfalme wamekufa, na Uria, Mhiti, mtumishi wako, amekufa naye.

2 Sam. 11

2 Sam. 11:15-27