2 Sam. 11:13 Swahili Union Version (SUV)

Naye Daudi akamwalika, akala, akanywa mbele yake; naye akamlevya; hata wakati wa jioni akatoka kwenda kulala kitandani mwake pamoja na watumishi wa bwana wake, lakini hakushuka nyumbani kwake.

2 Sam. 11

2 Sam. 11:3-18