2 Sam. 10:18 Swahili Union Version (SUV)

Wakakimbia Washami mbele ya Israeli; naye Daudi akawaua katika Washami, watu wa magari mia saba, na wapanda farasi arobaini elfu, naye akampiga huyo Shobaki, jemadari wa jeshi lao, hata akafa huko.

2 Sam. 10

2 Sam. 10:11-19