2 Sam. 1:6 Swahili Union Version (SUV)

Yule kijana aliyempa habari akasema, Nalikuwapo kwa nasibu juu ya kilima cha Gilboa, na tazama, Sauli alikuwa ameegemea fumo lake; na tazama, magari na wapanda farasi wanamfuatia kwa kasi.

2 Sam. 1

2 Sam. 1:2-8