2 Sam. 1:4 Swahili Union Version (SUV)

Daudi akamwambia, Yalikwendaje? Tafadhali uniambie. Akajibu, Watu wamekimbia vitani, tena watu wengi wameanguka wamekufa; hata Sauli naye na Yonathani, mwanawe, wamekufa.

2 Sam. 1

2 Sam. 1:2-9