2 Sam. 1:2 Swahili Union Version (SUV)

hata siku ya tatu ikawa, tazama! Akaja mtu kutoka kambi ya Sauli, nguo zake zimeraruliwa, tena ana mavumbi kichwani mwake; basi, ikawa alipomfikia Daudi, akaanguka chini, akamsujudia.

2 Sam. 1

2 Sam. 1:1-5