2 Pet. 3:10 Swahili Union Version (SUV)

Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwivi; katika siku hiyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na nchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.

2 Pet. 3

2 Pet. 3:2-12