2 Nya. 6:23 Swahili Union Version (SUV)

basi, usikie mbinguni, ukatende, ukawahukumu watumwa wako; ukimlipiza mwovu, kumpatilizia njia yake kichwani; ukamfanyie haki mwenye haki, ukimjalia kwa kadiri ya haki yake.

2 Nya. 6

2 Nya. 6:18-31