1. Ndipo Sulemani akanena, BWANA alisema ya kwamba atakaa katika giza nene.
2. Lakini nimekujengea nyumba ya kukaa, iwe mahali pa makao yako milele.
3. Mfalme akageuza uso wake, akawabarikia mkutano wote wa Israeli; na mkutano wote wa Israeli wakasimama.