2 Nya. 36:16 Swahili Union Version (SUV)

lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.

2 Nya. 36

2 Nya. 36:11-23