2 Nya. 34:10 Swahili Union Version (SUV)

Wakaitia mikononi mwa watenda kazi walioisimamia nyumba ya BWANA; na hao mafundi waliotenda kazi nyumbani mwa BWANA wakaitoa kwa kuitengeneza na kuifanya upya nyumba;

2 Nya. 34

2 Nya. 34:1-12