2 Nya. 33:3 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana akapajenga tena mahali pa juu alipopabomoa Hezekia babaye; akazisimamisha madhabahu za mabaali, akafanya na sanamu za maashera, akaabudu jeshi lote la mbinguni, na kulitumikia.

2 Nya. 33

2 Nya. 33:1-13