2 Nya. 32:33 Swahili Union Version (SUV)

Hezekia akalala na babaze, wakamzika mahali pa kupandia makaburi ya wana wa Daudi; nao Yuda wote na wenyeji wa Yerusalemu wakamfanyia heshima alipokufa. Na Manase mwanawe akatawala mahali pake.

2 Nya. 32

2 Nya. 32:32-33