2 Nya. 32:27 Swahili Union Version (SUV)

Naye Hezekia akawa na mali nyingi mno na heshima; akajifanyizia hazina za fedha, na za dhahabu, na za vito, na za manukato, na za ngao, na za namna zote za vyombo vya thamani;

2 Nya. 32

2 Nya. 32:25-28